728x90 AdSpace

  • Latest News

    Thursday, July 21, 2016

    MAN UNITED YATANGAZA NAMBA MPYA ZA JEZI ZA NYOTA WAKE KWA MSIMU WA 2016/17,MARTIAL APEWA JEZI YA GIGGS

    Manchester,England.

    KLABU ya Manchester United leo imetangaza namba mpya za Jezi zitakazovaliwa na wachezaji wake kwa ajili ya msimu mpya wa mwaka 2016/17

    Mshambuliaji mpya wa klabu hiyo Msweden,Zlatan Ibrahimovic,amepewa jezi namb No.9 ambayo msimu uliopita ilikuwa ikivaliwa na Mshambuliaji kinda,Mfaransa Anthony Martial.

    Sasa Martial atakuwa akivaa jezi No.11 iliyokuwa ikivaliwa na nyota wa zamani wa klabu hiyo Ryan Giggs.Jezi No.6,imehifadhiwa na kuibua uvumi kuwa huenda ikawa imetengwa kwa ajili ya Kiungo wa Juventus,Paul Pogba.

    Mlinzi toka Ivory Coast,Erik Bailly atavaa Jezi No.3, ambayo ilikuwa haina mtu kwa kipindi kirefu.Kiungo Henrikh Mkhitaryan,atakuwa akivaa Jezi No.22.

    NAMBA ZOTE ZIKO KAMA IFUATAVYO!!

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: MAN UNITED YATANGAZA NAMBA MPYA ZA JEZI ZA NYOTA WAKE KWA MSIMU WA 2016/17,MARTIAL APEWA JEZI YA GIGGS Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top