728x90 AdSpace

  • Latest News

    Thursday, July 21, 2016

    PLUIJM ASAINI MKATABA MPYA YANGA

    Dar es Salaam,Tanzania.

    MDACHI,Hans van der Pluijm amesaini Mkataba mpya wa miaka miwili
    wa kuendelea kufundisha klabu ya Yanga.

    Pluijm amesaini Mkataba huo jana katika makao makuu ya klabu hiyo, Jangwani,jijini Dar es Salaama.

    Pluijm amepewa mkataba huo ikiwa ni kama asante baada ya msimu uliopita kuiongoza Yanga kutwaa mataji mawili ya ndani,Ligi Kuu na Shirikisho (FA) pamoja na kuiwezesha miamba hiyo kutinga hatua ya nane bora ya michuano ya Shirikisho Afrika.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: PLUIJM ASAINI MKATABA MPYA YANGA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top