728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, July 22, 2016

    LIVERPOOL YAMSAJILI KIPA WA ZAMANI WA ARSENAL

    Liverpool,England.

    Liverpool imetangaza kumsajili kwa uhamisho huru kipa wa zamani wa Arsenal,Muaustria Alex Manninger.

    Manninger,39,amesaini mkataba wa mwaka mmoja baada ya kufuzu majaribio yaliyodumu kwa muda wa zaidi ya wiki moja.

    Kabla ya kutua Liverpool,Manninger,aliwahi kuvichezea vilabu vya Arsenal (1997-2002), Fiorentina, Espanyol,Udinese,Juventus na Augsburg iliyomtema mwishoni mwa msimu uliopita baada ya kuitumikia kwa miaka minne.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: LIVERPOOL YAMSAJILI KIPA WA ZAMANI WA ARSENAL Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top