728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, July 22, 2016

    HATIMAYE ENGLAND YAPATA KOCHA MPYA WA TIMU YAKE YA TAIFA

    London, England.

    KOCHA wa zamani wa Sunderland,Sam Allardyce,ametangazwa kuwa kocha mpya wa timu ya taifa ya England akichukua nafasi iliyoachwa wazi na Roy Hodgson aliyejiuzulu baada ya kung'olewa mapema katika michuano ya Euro 2016.

    Allardyce,61,maarufu kama Big Sam amepata nafasi hiyo baada ya kuwabwaga waliokuwa wapinzani wake katika kinyang'anyiro hicho, Makocha Steve Bruce na Jurgen Klinsmann.
     
    Kibarua cha kwanza cha Allardyce kitakuwa Septemba 4 pale atakapoiongoza England kuvaana na Slovakia.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: HATIMAYE ENGLAND YAPATA KOCHA MPYA WA TIMU YAKE YA TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top