728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, July 22, 2016

    MAN UNITED,DORTMUND ZATANGAZA VIKOSI VYAO TAYARI KWA MTANANGE WAO HAPO SAA 9

    Beijing, China.

    MAKOCHA Jose Mourinho wa Manchester United na Thomas Tuchel wa Borussia Dortmund wametangaza vikosi vyao ambao muda mfupi Ujao vitashuka dimbani nchini China kuwania alama tatu muhimu katika michuano ya International Champions Cup.

    Mourinho amewaanzisha kwa pamoja Henrikh Mkhitaryan na Memphis Depay katika safu ya ushambuliaji huku mpinzani wake Tuchel akimuanzisha mshambuliaji wa Gabaon,Emerick Aubameyang,ili kuhakikisha kikosi chake kitatoka kifua mbele katika mchezo huo utakaoanza saa 9:15 Mchana.

    Vikosi Kamili:

    Manchester United:Johnstone, Valencia, Bailly, Jones, Shaw, Blind, Herrera, Mata, Mkhitaryan, Lingard, Memphis.

    Borussia Dortmund:Weidenfeller, Bender, Dembélé, Aubameyang, Rode, Ramos, Kagawa, Sokratis, Castro, Schmelzer, Passlack.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: MAN UNITED,DORTMUND ZATANGAZA VIKOSI VYAO TAYARI KWA MTANANGE WAO HAPO SAA 9 Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top