728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, June 10, 2016

    MEXICO YATINGA ROBO FAINALI COPA AMERICA CENTENARIO,JAMAICA,URUGUAY ZAAGA

    California,Marekani.

    MABAO mawili ya kila kipindi yameiwezesha Mexico kutinga hatua ya robo fainali ya michuano ya Copa America Centenario baada ya kuifunga Jamaica mabao 2-0 katika mchezo wa pili wa kundi C ulioisha hivi punde katika uwanja wa Rose Bowl,California.

    Mexico ilipata bao lake la kuongoza dakika ya 18 tu ya kipindi cha kwanza baada ya Javier Hernandez "Chicharito"kufunga kwa kichwa akiunganisha krosi ya Jesus Corona. 

    Dakika ya 81 Oribe Perlata aliiandikia Mexico bao la pili baada ya kupokea pasi safi kutoka kwa kiungo Hector Moreno na kufumua mkwaju uliomshinda kipa wa Jamaica,Andre Blake na kutinga wavuni.

    Kwa matokeo hayo Mexico na Venezuela zimefuzu robo fainali huku Jamaica na Uruguay zikiaga baada ya kupoteza michezo yao miwili ya kwanza.

    VIKOSI

    MEXICO

    13Guillermo Ochoa
    3Yasser Corona
    2Néstor Araújo
    15Héctor Moreno
    20Jesús Dueñas
    4Rafael Márquez
    7Miguel Layún
    16Héctor Herrera
    14Javier Hernández
    10Jesus Corona
    9Raúl Jiménez

    JAMAICA

    1 Andre Blake
    4Wes Morgan
    19Adrian Mariappa
    21Jermaine Taylor
    15Je-Vaughn Watson
    16Lee Williamson
    3Michael Hector
    10Jobi McAnuff
    22Garath McCleary
    8Clayton Donaldson
    9Giles Barnes


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: MEXICO YATINGA ROBO FAINALI COPA AMERICA CENTENARIO,JAMAICA,URUGUAY ZAAGA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top