728x90 AdSpace

  • Latest News

    Wednesday, September 23, 2015

    YANGA,AZAM ZAMALIZA TOFAUTI ZAO,YANGA YAJA NA KIPINDI CHAKE KWENYE TV


    Hatimaye Mwenyekiti wa Yanga SC, Yussuf Manji amemaliza tofauti zake na kampuni ya Azam TV na kukubali klabu yake kusaini mikataba yote ya kampuni hiyo, mali ya Alhaj Sheikh Said Salim Awadh Bakhresa.
     
    Habari kutoka ndani ya Yanga SC,zinasema kwamba klabu hiyo sasa inatarajiwa kusaini mkataba wa haki za Televisheni wa Azam FC na pia wa kipindi cha Yanga TV, ambayo kwa pamoja itawafanya wapokee si chini ya Sh. Milioni 600.
     
    Mechi za Yanga SC zimekuwa zikionyeshwa kama kawaida na Azam TV, lakini kwa miaka yote miwili klabu haijachukua mgawo wake Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
     
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: YANGA,AZAM ZAMALIZA TOFAUTI ZAO,YANGA YAJA NA KIPINDI CHAKE KWENYE TV Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top