728x90 AdSpace

  • Latest News

    Saturday, July 01, 2017

    TOTTENHAM YATAMBULISHA JEZI ZAKE MPYA BAADA YA KULAMBA DILI LA MAANA KUTOKA NIKE




    London,England.

    TOTTENHAM imetambulisha rasmi jezi zake mpya za msimu wa 2017-2018 tayari kwa kimuhemuhe cha michuano ya ligi kuu England na michuano ya klabu bingwa Ulaya.

    Kwa mara ya kwanza katika historia itashuhudiwa Tottenham ikivaa jezi za NIKE baada ya kupata dili kubwa la Pauni Milioni 30 kutoka kwa kampuni hiyo yenye makao makuu yake nchini Marekani.

    Tottenham will debut the home kit in their friendly against Paris Saint-Germain in Orlando

    Awali Tottenham ilikuwa ikivaa jezi kutoka kampuni ya Under Armour ambayo safari hii imezidiwa ujanja na NIKE.Tottenham itaanza kuzitumia jezi hizo mpya Julai 22 mwaka huu pale itakaposhuka dimbani kuvaana na PSG.

    Club captain Hugo Lloris will wear a yellow goalkeeping jersey with black details on the arms
    TANGAZA BIASHARA YAKO NASI Simu : + 255 675 734 252 + 255 717 705 548 Email : sokaextra82@gmail.com
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: TOTTENHAM YATAMBULISHA JEZI ZAKE MPYA BAADA YA KULAMBA DILI LA MAANA KUTOKA NIKE Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top