728x90 AdSpace

  • Latest News

    Sunday, July 02, 2017

    URENO BILA RONALDO YATWAA NAFASI YA TATU KOMBE LA MABARA


    Moscow, Urusi.

    IKICHEZA bila ya staa na nahodha wake,Cristiano Ronaldo,Ureno imetwaa nafasi ya tatu baada ya kufanikiwa kutoka nyuma na kuifunga Mexico mabao 2-1 katika mchezo mkali wa kusaka mshindi wa tatu uliochezwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa ulioko huko Otkrytiye Arena Moscow, Urusi.

    Mabao yaliyoipa ushindi huo Ureno yamefungwa na Pepe katika ya 91 na Adrien Silva kwa mkwaju wa penati katika dakika ya 104.Bao la Mexico limepatikana dakika ya 54 baada ya beki wa Ureno,Neto kujifunga akijaribu kuokoa hatari langoni mwake.


    Aidha katika mchezo huo ilishuhudiwa Ureno na Mexico zikimaliza baada ya wachezaji wao wawili Miguel Layun na Nelson Semedo kutolewa nje kwa kadi nyekundu.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: URENO BILA RONALDO YATWAA NAFASI YA TATU KOMBE LA MABARA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top