728x90 AdSpace

Saturday, July 01, 2017

TFF YAPATA RAIS WA MUDA

Wallace Karia


Dar Es Salaam,Tanzania.

Shirikisho la soka Tanzania (TFF), limemtangaza Makamu wa Rais wake, Wallace Karia kuwa Kaimu Rais wa TFF akichukua mikoba ya Rais Jamal Malinzi mpaka hapo sakata lake likapokamilika.

Wakati huohuo Salum Madadi ametangazwa kuwa kaimu katibu mkuu wa TFF, akishikilia nafasi ya Celestine Mwesigwa ambaye pia ameshikiliwa na vyombo vya dola.

  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: TFF YAPATA RAIS WA MUDA Rating: 5 Reviewed By: Unknown