728x90 AdSpace

  • Latest News

    Monday, July 03, 2017

    MALINZI NA WENZAKE WANYIMWA DHAMANA,WARUDISHWA RUMANDE


    Dar Es Saam,Tanzania.

    RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi na Katibu Mkuu wake Selestine Mwesigwa wamenyimwa dhamana na hivyo wamerudishwa rumande ambapo Kesi yao itatajwa tena Julai 17 mwaka huu.

    Leo Jumatatu Malinzi na wenzie walifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam kufuatia kushtakiwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kwa makosa 28 yakiwemo ya utakatishaji fedha.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: MALINZI NA WENZAKE WANYIMWA DHAMANA,WARUDISHWA RUMANDE Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top