728x90 AdSpace

  • Latest News

    Sunday, September 20, 2015

    UHURU SELEMANI AZIDI KUTUPIA SAUZI,APIGA KIDUDE EAGLES IKISHINDA NNE

    Kiungo mshambuliaji wa Royal Eagles, Uhuru Selemani Mwambungu amefunga bao lake la pili akiwa na kikosi chake hicho.

    Uhuru amefunga bao lake la pili wakati Royal Eagles ikitwanga Santos bao 4-0.
    Hiyo ni mechi ya pili ya Uhuru, mechi yake ya kwanza dhidi ya Amazulu kwa mabao 2-1 yeye akifunga la ushindi.

    “Ilikuwa mechi mgumu sana, lakini namshukuru Mungu nimecheza na kufunga,” alisema.(Saleh Ally Blog)

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: UHURU SELEMANI AZIDI KUTUPIA SAUZI,APIGA KIDUDE EAGLES IKISHINDA NNE Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top