728x90 AdSpace

  • Latest News

    Monday, September 28, 2015

    AMERUDI:COQUELIN KAMILI,KUIVAA OLYMPIACOS KESHO LIGI YA MABINGWA

    London,England.

    Kuelekea mchezo wa ligi ya mabingwa wa Ulaya dhidi ya Olympiacos ya Ugiriki,Arsenal imeripotiwa kupata ahueni baada ya kiungo wake wa ulinzi Francis Coquelin kupona jeraha la goti alilolipata katika mchezo wa ligi kuu dhidi ya Chelsea wiki mbili zilizopita.
    Arsenal's No 34 was in visible discomfort as he limped off the pitch during their 2-0 defeat vs Chelsea
    Coquelin amerejea leo asubuhi katika mazoezi ya pamoja na kikosi cha Arsenal katika maandalizi ya kujiwinda na mchezo wa kesho jumanne wa ligi ya mabingwa dhidi ya Olympiacos utakaopigwa katika dimba la Emirates.Wakati huohuo Arsenal itamkosa katika mchezo huo kiungo wake Mathieu Flamini ambaye alipata jeraha la misuli katika mchezo wa jumamosi wa ligi kuu ambapo Arsenal iliibamiza Leceister City kwa magoli 5-2.Arsenal manager Arsene Wenger will be hoping his side can kick-start their Champions League campaign
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: AMERUDI:COQUELIN KAMILI,KUIVAA OLYMPIACOS KESHO LIGI YA MABINGWA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top