728x90 AdSpace

  • Latest News

    Tuesday, September 15, 2015

    LIGI YA MABINGWA ULAYA:PATA RATIBA KAMILI LEO NA KESHO

    Baada ya kupangwa kwa makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya na Shirikisho la soka barani Ulaya (UEFA) siku kadhaa nyuma, September
    15 na 16 ni siku ambazo michezo ya hatua ya makundi ya mechi hizo zitaanza kuchezwa.

    Kama kawaida muda wa michuano hiyo haujabadilika upo kama tulivyozoea mechi zote za September 15 na 16 zitachezwa saa 21:45 kwa saa za Afrika Mashariki.

    Hii ni ratiba ya mechi za September 15 na 16.

    Kundi A
    Paris Saint Germain Vs Malmoe FF
    Real Madrid Vs Shaktar Donetsk

    Kundi B
    PSV Eindhoven Vs Manchester United
    Wolfsburg Vs CSKA Moscow

    Kundi C
    Benfica Vs FC Astana
    Galatasaray Vs Atletico Madrid

    Kundi D
    Manchester City Vs Juventus
    Sevilla Vs Borussia
    Moenchengladbach

    Mechi za September 16

    Kundi E
    Bayer Leverkusen Vs BATE Borisov
    Roma Vs FC Barcelona

    Kundi F
    Dinamo Zagreb Vs Arsenal
    Olympiakos Vs Bayern Munich

    Kundi G
    Chelsea Vs Maccabi Tel Aviv
    Dynamo Kyiv Vs FC Porto

    Kundi H
    Gent Vs Lyon
    Valencia Vs Zenit St Petersburg

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: LIGI YA MABINGWA ULAYA:PATA RATIBA KAMILI LEO NA KESHO Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top