728x90 AdSpace

  • Latest News

    Monday, January 05, 2015

    ANAUZWA:MADRID YAMUWEKA SOKONI BEKI WAKE

    Madrid, Hispania.
    Hatimaye klabu ya Real Madrid ya mjini hapa imetangaza kuwa iko tayari kumuuza mlinzi wake wa kati Mfaransa Rafael Varane kwa dau la £20m katika dirisha hili la usajili barani Ulaya.
    Madrid imefikia hatua hiyo ili kutoa nafasi kwa mlinzi huyo kujaribu bahati yake kwingine baada ya
    kuwa chaguo la tatu nyuma ya Sergio Ramos na Pepe.
    Ikiwa Varane atafanikiwa kuondoka Santiago Bernabeu nafasi yake itazibwa na mlinzi kinda wa klabu hiyo
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: ANAUZWA:MADRID YAMUWEKA SOKONI BEKI WAKE Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top