728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, May 12, 2017

    Juma Luizio Awapa furaha Simba SC waichapa mbili kwa moja Stand United , SportPesa Ndani


    Mechi ya Simba Sc dhidi ya Stand United imemalizika na kushuhudia Simba Sc wakiibuka na ushindi wa Magoli mawili kwa moja la Stand United .

    Goli la Stands United liliwekwa kambani na Selemani kassim Selembe mapema tu kwa mchezo mnamo Sekunde ya 15 ya na huku ya Simba Sc yakiwekwa kambani na Juma Luizio Ndanda dakika ya 23 na dakika ya 37 na kuipa Ushindi Simba wa Mabao mawili kwa moja.

    Pia Simba Sc imeingia mkataba wa miaka Mitano dhidi ya kampuni ya kubahatisha ya SportPesa , Mkataba wa miaka 5 kwenye Thamani ya 4.9 billion, kuanzia msimu ujao 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Juma Luizio Awapa furaha Simba SC waichapa mbili kwa moja Stand United , SportPesa Ndani Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top