728x90 AdSpace

  • Latest News

    Thursday, February 12, 2015

    WAJUE NYOTA 10 WANAOONGOZA KWA KUPIGWA VIATU EPL

    London,England.

    Kwa mujibu wa takwimu za ligi kuu England 2014/2015 winga wa klabu ya Chelsea Eden Hazard yuko katika nafasi ya kwanza katika nyota wanaofanyiwa madhambi zaidi katika ligi hiyo ngumu zaidi duniani.
     

    Orodha kamili iko hapa...


    Jina                            Idadi
    Hazard, Eden              74
    Sterling, Raheem         60
    Naismith, Steven         52
    Sánchez, Alexis           47
    Agbonlahor, Gabriel    46
    Cabella, Rémy            45
    Fer, Leroy.                  45
    Sessegnon, Stéphane  44
    Colback, Jack.           44
    Wickham, Connor      41
    Cazorla, Santiago.      41
    Mané, Sadio.             41
    Song, Alexandre        40
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: WAJUE NYOTA 10 WANAOONGOZA KWA KUPIGWA VIATU EPL Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top