728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, February 13, 2015

    FA YAWATIA HATIANI CHELSEA NA EVERTON

    FA imezishutumu klabu za Everton na Chelsea baada ya wachezaji wa timu hizo mbili kugombana uwanjani.
    Klabu hizo zinashutumiwa kwa kushindwa kuhakikisha kuwa wachezaji wake wanaepuka mivutano uwanjani na kuepuka vitendo vyenye kuchochea vurugu.

     Everton and Chelsea
    Mchezaji wa Chelsea Branislav Ivanovic
    hatachukuliwa hatua zaidi baada ya kugombana na James McCarthy, kwenye mchezo wa jumatano wa ligi kuu ya England ambapo Chelsea iliondoka na ushindi wa goli moja bila dhidi ya Everton.
     Branislav Ivanovic grabs James McCarthy in a headlock
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: FA YAWATIA HATIANI CHELSEA NA EVERTON Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top