728x90 AdSpace

  • Latest News

    Sunday, February 01, 2015

    DROGBA BADO NIPO NIPO SANA CHELSEA

    Mshambuliaji wa klabu ya Chelsea Didier Drogba 36 amesema bado ataendelea kuichezea klabu hiyo mpaka mwaka 2016.

    Akiongea na Telefoot Drogba amesema....

    "Bado nitaendelea kuwa Chelsea kwa mwaka mmoja zaidi,klabu bado ina mipango na mimi"

    Drogba ameifungia Chelsea magoli 6 katika michezo 27 tangu arejee tena klabuni hapo kwa uhamisho huru akitokea klabu ya Galatasaray ya Uturuki.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: DROGBA BADO NIPO NIPO SANA CHELSEA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top