728x90 AdSpace

Sunday, February 01, 2015

DROGBA BADO NIPO NIPO SANA CHELSEA

Mshambuliaji wa klabu ya Chelsea Didier Drogba 36 amesema bado ataendelea kuichezea klabu hiyo mpaka mwaka 2016.

Akiongea na Telefoot Drogba amesema....

"Bado nitaendelea kuwa Chelsea kwa mwaka mmoja zaidi,klabu bado ina mipango na mimi"

Drogba ameifungia Chelsea magoli 6 katika michezo 27 tangu arejee tena klabuni hapo kwa uhamisho huru akitokea klabu ya Galatasaray ya Uturuki.

  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: DROGBA BADO NIPO NIPO SANA CHELSEA Rating: 5 Reviewed By: Unknown