728x90 AdSpace

  • Latest News

    Wednesday, February 18, 2015

    ROONEY AMUOMBA RADHI KIPA WA PRESTON

    Golikipa wa timu ya Preston Thorsten Stuckmann ameeleza kuwa mshambuliaji Wayne Rooney alimuomba msamaha baada ya kuanguka katika eneo la hatari na kupata mkwaju wa penati.
    Wayne Rooney wins a penalty at Preston
    Kipa huyo alimwangusha Rooney wakati
    mchezaji huyo akielekea kufunga bao na kusababisha penati, Stuckmann, alisema "Rooney aliniomba msamahani na kuniambia ilikua ni nafasi yake ya kupata penati".
    "Naamini tukio kama lile lingetokea kwenye goli la Manchester United toka kwa mshambuliaji wetu refa asingeweza kutupa penati sina shaka na hilo".
    "Sisemi kama haikuwa penati, nachokisema hakukua na mgongano wowote"
    Rooney alifunga mkwaju huo wa penati na kuipa timu yake ushindi mnono wa mabo 3-1dhidi ya Preston.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: ROONEY AMUOMBA RADHI KIPA WA PRESTON Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top