728x90 AdSpace

  • Latest News

    Monday, April 03, 2017

    Federer amchapa tena Nadal na kutwaa ubingwa wa Miami Open



    Miami,Marekani.

    MCHEZA tenesi wa Uswisi,Roger Federer ameendelea rekodi yake nzuri ya kutwaa mataji kwa mwaka huu katika mchezo huo baada ya jana Jumapili usiku kwa mara nyingine kumchapa mpinzani wake wa siku nyingi Rafael Nadal kwenye mchezo wa fainali na kutwaa ubingwa wa michuano ya wazi ya Miami huko Crandon Park Centre,Miami.


    Federer,35,ametwaa ubingwa huo baada ya kupata ushindi wa seti mbili za 6-3 na 6-4.Huo umekuwa ni ubingwa wa tatu kwa Federer katika michuano hiyo na ushindi wa 19 kwa mwaka 2017.Amepoteza mchezo mmoja.


    The Spaniard strains to return a shot during his Sunday showdown with arch rival Federer in Miami 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Federer amchapa tena Nadal na kutwaa ubingwa wa Miami Open Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top