728x90 AdSpace

Sunday, February 12, 2017

TP Mazembe yapata nahodha mpya

Lubumbashi,DR Congo 

MZAMBIA Rainford “Master” Kalaba (Pichani) sasa ndiye nahodha mpya wa TP Mazembe hii ni baada ya mkongwe Jean Kasusula Kiritsho ,35,kuamua kuachana na wadhifa huo na kuripotiwa kuwa mbioni kujiingiza kwenye siasa.

Kalaba ambaye pia ni nahodha wa timu ya taifa ya Zambia “Chipolopolo” atakuwa akisaidiwa na Issama Mpeko ambaye atakuwa akihudumu kama nahodha msaidizi.



  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: TP Mazembe yapata nahodha mpya Rating: 5 Reviewed By: Unknown