728x90 AdSpace

  • Latest News

    Sunday, February 19, 2017

    Ligi kuu bara:Michezo minne kuchezwa leo,ratiba nzima iko hapa





    Dar Es Salaam,Tanzani.

    LIGI kuu ya Vodacom Tanzania bara (VPL) inatarajiwa kuendelea tena leo Jumapili kwa michezo minne kuchezwa katika viwanja mbalimbali nchini.

    Huko Mtwara Ndanda FC watakuwa nyumbani Nangwanda Sijaona kuwaalika African Lyon kutoka Dar Es Salaam.Mtibwa Sugar watakuwa Manungu,Turiani kucheza na Maafande wa JKT Ruvu na huko CCM Kirumba Mwanza Mbao FC watakuwa wenyeji wa Wanalizombe Majimaji FC kutoka Songea.

    Mchezo wa mwisho leo hii utachezwa huko Chamazi,ambapo mabingwa wa kombe la Mapinduzi Azam FC watakuwa wenyeji wa Mwadui FC kutoka Shinyanga na mchezo huu utachezwa saa 1:00 Usiku.Michezo mingine itachezwa saa 10:00 Jioni.

    Ndanda FC v African Lyon
    Mtibwa Sugar v JKT Ruvu
    Mbao FC v Majimaji FC
    Azam FC v Mwadui FC
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Ligi kuu bara:Michezo minne kuchezwa leo,ratiba nzima iko hapa Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top