728x90 AdSpace

  • Latest News

    Sunday, February 26, 2017

    Kane hat-trick ya tatu,Tottenham ikiua Stoke City 4-0 England

    London,England.

    HARRY Kane akipongezwa na wachezaji wenzake wa Tottenham baada ya kufunga mabao matatu (hat-trick) katika ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Stoke City katika mchezo wa ligi kuu England uliochezwa jioni ya leo huko White Hart Lane .

    Kane,23,amefunga mabao hayo katika dakika za 14,32 na 37 na kumfanya nyota huyo wa England afikishe mabao 17 sawa na Alexis
    Sanchez na Romelu Lukaku.Bao la nne limefungwa na Delle Alli katika dakika ya 45 ya kipindi cha kwanza.

    Aidha hat-trick hiyo imemfanya Kane afikishe hat-trick tatu katika michezo tisa iliyopita.Pia akifikisha mabao 100 akiwa na Tottenham.

    Vikosi

    Stoke XI vs. Spurs: Grant;
    Bardsley, Shawcross, Martins Indi, Pieters; Whelan, Adam;Arnautovic, Allen, Ramadan;Crouch.

    Spurs XI vs. Stoke: Lloris; Dier,Alderweireld,Vertonghen; Walker,
    Wanyama, Dembele, Davies; Eriksen,Alli; Kane.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Kane hat-trick ya tatu,Tottenham ikiua Stoke City 4-0 England Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top