728x90 AdSpace

  • Latest News

    Thursday, February 23, 2017

    Usiende huko Rooney


    Na Faridi Miraji.                            

    Nahodha wa zamani wa Manchester United Roy Keane anaamini kwamba itakuwa uchizi sana kama Wayne Rooney ataondoka Uingereza na kuhamia China.

    "Hakuna sababu kwa Rooney kwenda China"

    "Bado anaweza kucheza soka la hali ya juu akiwa Ujerumani, Hispania, Italia na Uingereza hapo hapo."

    "Kwenda China ? uchizi huo ."

    "Ana miaka 31, bado ana miaka ya kucheza soka la hali ya juu Barani Ulaya."
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Usiende huko Rooney Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top