728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, February 24, 2017

    Azam Sport Federation cup : Azam uso kwa uso na Mtibwa Sugar

    Na Faridi Miraji.            


    Hatua ya 16 bora ya Kombe la Shirikisho (FA) inaendelea leo kwa mechi nne  Makamu bingwa wa kombe hili Azam Fc kuikaribisha Mtibwa Sugar Katika uwanja wa Azam Complex Chamazi Kuanzia sa 10:30 jioni. 




          Mechi zingine ni 

    Mighty Elephant VS Ndanda FC 
        Uwanja :Majimaji -Songea 

         Muda :saa10:00 jioni 
    Kagera Sugar VS Stand United 

        Uwanja :Kaitaba Kagera 
    Muda :Saa10:30 jioni 

    Madini FC VS JKT Ruvu

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Azam Sport Federation cup : Azam uso kwa uso na Mtibwa Sugar Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top