728x90 AdSpace

Friday, February 24, 2017

Azam Sport Federation cup : Azam uso kwa uso na Mtibwa Sugar

Na Faridi Miraji.            


Hatua ya 16 bora ya Kombe la Shirikisho (FA) inaendelea leo kwa mechi nne  Makamu bingwa wa kombe hili Azam Fc kuikaribisha Mtibwa Sugar Katika uwanja wa Azam Complex Chamazi Kuanzia sa 10:30 jioni. 




      Mechi zingine ni 

Mighty Elephant VS Ndanda FC 
    Uwanja :Majimaji -Songea 

     Muda :saa10:00 jioni 
Kagera Sugar VS Stand United 

    Uwanja :Kaitaba Kagera 
Muda :Saa10:30 jioni 

Madini FC VS JKT Ruvu

  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: Azam Sport Federation cup : Azam uso kwa uso na Mtibwa Sugar Rating: 5 Reviewed By: Unknown