728x90 AdSpace

  • Latest News

    Tuesday, February 28, 2017

    Kamati ya maandalizi Serengeti boys Ali kiba , Diamond ndani


    Na Faridi Miraji.                                           


    -Serengeti boys itashiriki michuano ya Africa chini ya miaka kumi na Saba AFCON U17 Katika maandalizi ya kushiriki Waziri wa Habari, Sana'a utamaduni na Michezo  Nape Nauye  Leo ametangaza kamati ya watu kumi ya kusaidia maandalizi ya Serengeti boys.Waziri Nape amesema kazi kubwa ya kamati Hii ni kuhakikisha wananchi wanashirikishwa kwenye maandalizi ya timu. 

    -Kamati hiyo Itakuwa chini ya Mwenyekiti Charles Hillary  Mwanahabari mkongwe kutoka azam TV., Katibu wa kamati atakuwa Katibu wa shirikisho la Tanzania TFF  Selestine Mwesigwa   Huku wajumbe wakiwa wanamziki Alikiba na Diamond , wengine ni Maulid Kitenge, Ruge Mtabaha,  Erick Shigongo , Hassan Abbas,  Beatrice  Singano na Mwanamitindo Hoyce Temu. 


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Kamati ya maandalizi Serengeti boys Ali kiba , Diamond ndani Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top