728x90 AdSpace

Friday, February 24, 2017

Habari picha :Simba Sc Yawasili kutoka Zanzibar tayali kwa kariakoo derby

Na Faridi Miraji.                                            

Nahodha wa simba Jonas mkude akiwasili Leo bandalini

Klabu ya soka ya simba sc ya jijini dar imewasili Leo rasmi kutoka Zanzibar ikiwa na kikosi kamili 
Manager wa simba Mussa Mgosi 

Simba imewasili ikitokea Zanzibar ilipoweka kambi ya wiki nzima ikijiandaa na mtanange wa Feb 25 kati ya Simba vs Yanga 
Goli kipa wa simba Agrey akiwasili Leo dar
Juma Luizio akiwasili Leo dar
  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: Habari picha :Simba Sc Yawasili kutoka Zanzibar tayali kwa kariakoo derby Rating: 5 Reviewed By: Unknown