728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, February 24, 2017

    Habari picha :Simba Sc Yawasili kutoka Zanzibar tayali kwa kariakoo derby

    Na Faridi Miraji.                                            

    Nahodha wa simba Jonas mkude akiwasili Leo bandalini

    Klabu ya soka ya simba sc ya jijini dar imewasili Leo rasmi kutoka Zanzibar ikiwa na kikosi kamili 
    Manager wa simba Mussa Mgosi 

    Simba imewasili ikitokea Zanzibar ilipoweka kambi ya wiki nzima ikijiandaa na mtanange wa Feb 25 kati ya Simba vs Yanga 
    Goli kipa wa simba Agrey akiwasili Leo dar
    Juma Luizio akiwasili Leo dar
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Habari picha :Simba Sc Yawasili kutoka Zanzibar tayali kwa kariakoo derby Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top