728x90 AdSpace

  • Latest News

      Friday, February 24, 2017

      Habari picha :Simba Sc Yawasili kutoka Zanzibar tayali kwa kariakoo derby

      Na Faridi Miraji.                                            

      Nahodha wa simba Jonas mkude akiwasili Leo bandalini

      Klabu ya soka ya simba sc ya jijini dar imewasili Leo rasmi kutoka Zanzibar ikiwa na kikosi kamili 
      Manager wa simba Mussa Mgosi 

      Simba imewasili ikitokea Zanzibar ilipoweka kambi ya wiki nzima ikijiandaa na mtanange wa Feb 25 kati ya Simba vs Yanga 
      Goli kipa wa simba Agrey akiwasili Leo dar
      Juma Luizio akiwasili Leo dar
      • Blogger Comments
      • Facebook Comments

      0 comments:

      Post a Comment

      Item Reviewed: Habari picha :Simba Sc Yawasili kutoka Zanzibar tayali kwa kariakoo derby Rating: 5 Reviewed By: Unknown