728x90 AdSpace

  • Latest News

    Sunday, February 19, 2017

    Droo robo fainal FA Cup:Man United yapewa Chelsea,Arsenal,Spurs zapangwa na vibonde.


    London,England.

    DROO ya robo fainali ya michuano ya Emirates FA CUP imepangwa usiku huu huko London,England baada ya sehemu kubwa ya michezo hiyo ya hatua ya 5 kukamilika.

    Katika droo hiyo vinara wa sasa wa ligi kuu England,Chelsea watakuwa nyumbani Stamford Blidge kuwaalika mabingwa watetezi wa kombe hilo Manchester United.

    Tottenham watacheza na Millwall huku Middlesbrough wakitarajiwa kucheza na mshindi kati ya Huddersfield na Manchester City.Mshindi kati ya Sutton na Arsenal atacheza na Lincoln.

    Michezo ya robo itachezwa kati ya Machi 11-13, 2017.

    Ratiba Kamili

    Chelsea v Manchester United
    Middlesbrough v Huddersfield/Manchester
    City
    Tottenham v Millwall
    Sutton/Arsenal v Lincoln



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Droo robo fainal FA Cup:Man United yapewa Chelsea,Arsenal,Spurs zapangwa na vibonde. Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top