-Kiungo Mshambuliaji Santi Carzola ataendelea kuwa nje ya uwanja mpaka mwishoni kwa msimu tofauti na ilivyotarajiwa hapo awali kuwa angeweza kurudi mwezi wa tatu hivyooo kurudi kucheza mpaka msimu ujao. Carzola amekuwa nje ya uwanja tangu mwezi wa kumi mwaka jana akiendelea kuuguza majeraha ya kifundo cha mguu aliyoyapata katika mchezo dhidi ya Ludogorets katika michuano ya klabu bigwa barani ulaya,ambapo alifanyiwa upasuaji mwez wa kumi na mbili uliomuweka nje mpaka sasa.
Inside Real Madrid's audacious bid to sign Trent Alexander-Arnold early,
scouting Darwin Nunez's potential replacement and YOUR transfer questions
answered: LIVERPOOL CONFIDENTIAL
-
LIVERPOOL CONFIDENTIAL: If Trent Alexander-Arnold was to be let go early,
Liverpool would save around a month of wages and would be able to demand a
small ...
0 comments:
Post a Comment