-Kiungo Mshambuliaji Santi Carzola ataendelea kuwa nje ya uwanja mpaka mwishoni kwa msimu tofauti na ilivyotarajiwa hapo awali kuwa angeweza kurudi mwezi wa tatu hivyooo kurudi kucheza mpaka msimu ujao. Carzola amekuwa nje ya uwanja tangu mwezi wa kumi mwaka jana akiendelea kuuguza majeraha ya kifundo cha mguu aliyoyapata katika mchezo dhidi ya Ludogorets katika michuano ya klabu bigwa barani ulaya,ambapo alifanyiwa upasuaji mwez wa kumi na mbili uliomuweka nje mpaka sasa.
Lionel Messi fumes live on TV and talks directly to the camera as he's
caught out by bizarre new MLS rule change
-
The rule prevents players from wasting time by faking injuries on the
field. However, it could also be used to strategically keep the other
team's best pla...
0 comments:
Post a Comment