728x90 AdSpace

  • Latest News

    Tuesday, February 21, 2017

    Kuelekea dabi ya Simba na Yanga:Yajue matokeo ya mechi zilizopita kuanzia 1965-2011

                                  



    Dar Es Salaam,Tanzania.

     JUNI 7, 1965
    Yanga v Sunderland (Simba) 1-0
    MFUNGAJI: Mawazo Shomvi dk. 15).

    JUNI 3, 1966
    Yanga v Sunderland (Simba)
    3-2
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Abdulrahman Lukongo dk. 54, Andrew Tematema dk 67, Emmanuel Makaidi dk. 83. Sunderland: Mustafa Choteka dk 24, Haji Lesso dk. 86.
    NOVEMBA 26, 1966
    Sunderland v Yanga
    1-0
    MFUNGAJI: Mustafa Choteka dk. 44.

    MACHI 30, 1968
    Yanga v Sunderland
    1-0
    MFUNGAJI: Kitwana Manara dk. 28.

    JUNI 1, 1968
    Yanga v Sunderland
    5-0
    WAFUNGAJI:
    Maulid Dilunga dk. 18 (penalti), Dilunga dk. 43, Salehe Zimbwe dk. 54, Zimbwe dk. 89, Kitwana Manara dk. 86.

    MACHI 3, 1969
    Yanga v Sunderland
    (Yanga ilipewa pointi za chee na ushindi wa mabao 2-0, baada ya Sunderland kugoma kuingia uwanjani).

    JUNI 4, 1972
    Yanga v Sunderland
    1-1
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Kitwana Manara dk. 19,
    Sunderland: Willy Mwaijibe dk. 11.

    JUNI 18, 1972
    Yanga v Simba
    1-0
    MFUNGAJI: Leonard Chitete.
    JUNI 23, 1973
    Simba v Yanga
    1-0
    MFUNGAJI: Haidari Abeid 'Muchacho' dk. 68.

    AGOSTI 10, 1974
    Yanga v Simba
    2-1
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Gibson Sembuli dk. 87, Sunday Manara dk. 97.
    Simba: Adam Sabu dk. 16.
    (Mechi ya kihistoria iliyochezwa Uwanja wa Nyamagana mjini Mwanza).

    JULAI 19, 1977
    Simba v Yanga
    6-0
    WAFUNGAJI:
    Abdallah Kibadeni dk. 10, 42 na 89, Jumanne Hassan 'Masimenti' dk. 60 na 73, Selemani Sanga alijifunga dk. 20.
    OKTOBA 7, 1979
    Simba v Yanga
    3-1
    WAFUNGAJI:
    Simba: Nico Njohole dk. 3, Mohammed Bakari 'Tall' dk. 38, Abbas Dilunga dk.72. Yanga: Rashidi Hanzuruni dk. 4.

    OKTOBA 4, 1980
    Simba v Yanga
    3-0
    WAFUNGAJI: Abdallah Mwinyimkuu dk. 29, Thuwein Ally dk. 82, Nico Njohole dk. 83.
    SEPTEMBA 5, 1981
    Yanga v Simba
    1-0
    MFUNGAJI: Juma Hassan Mkambi dk. 42

    APRILI 29, 1982
    Yanga v Simba
    1-0
    MFUNGAJI: Rashid Hanzuruni dk 2.
    SEPTEMBA 18, 1982
    Yanga 3-0 Simba
    WAFUNGAJI:
    Omar Hussein dk. 2 na 85, Makumbi Juma dk. 62.

    FEBRUARI 10, 1983
    Yanga v Simba. 0-0

    APRILI 16, 1983
    Yanga v Simba 3-1
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Charles Mkwasa dk. 21, Makumbi Juma dk. 38, Omar Hussein dk. 84, Simba; Kihwelu Mussa dk. 14.

    SEPTEMBA 10, 1983,
    Yanga v Simba 2-0
    WAFUNGAJI: Lila Shomari alijifunga dk. 72, Ahmed Amasha dk. 89.

    SEPTEMBA 25, 1983
    Yanga v Simba
    1-1
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Makumbi Juma dk. 75,
    Simba: Sunday Juma dk. 72.
    MACHI 10, 1984
    Yanga v Simba
    1-1
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Omar Hussein dk. 72.
    Simba: Idd Pazi kwa penalti dk 20.
    JULAI 14, 1984
    Yanga v Simba
    1-1
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Abeid Mziba dk. 39.
    Simba: Zamoyoni Mogella dk. 17

    MEI 19, 1985
    Yanga v Simba
    1-1
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Omar Hussein dk. 6
    Simba: Mohammed Bob Chopa dk. 30.

    AGOSTI 10, 1985
    Yanga v Simba 2-0

    MACHI 15, 1986
    Yanga v Simba
    1-1
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Abeid Mziba dk. 44
    Simba: John Hassan Douglas dk. 20.

    AGOSTI 23, 1986
    Simba v Yanga 2-1
    WAFUNGAJI:
    Simba: Edward Chumila dk. 9, Malota Soma dk. 51
    Yanga: Omar Hussein dk. 5.

    JUNI 27, 1987
    Yanga v Simba
    1-0
    MFUNGAJI: Edgar 'Fongo' Mwafongo dk. 36.

    AGOSTI 15, 1987
    Yanga v Simba 1-0
    MFUNGAJI: Abeid Mziba dk. 14.

    APRILI 30, 1988
    Yanga v Simba 1-1
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Justin Mtekere dk. 28
    Simba: Edward Chumila dk. 25.

    JULAI 23, 1988
    Simba v Yanga 2-1
    WAFUNGAJI:
    Simba: Edward Chumila 21, John Makelele dk. 58
    Yanga: Issa Athumani dk. 36.

    JANUARI 28, 1989
    Yanga v Simba
    2-1
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Issa Athumani dk. 4, Abeid Mziba dk. 85
    Simba: Malota Soma dk. 30.

    MEI 21, 1989
    Yanga v Simba 0-0

    MEI 26, 1990
    Simba v Yanga
    1-0
    MFUNGAJI: Mavumbi Omari dk 6.

    OKTOBA 20, 1990
    Yanga v Simba 3-1
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Makumbi Juma dk 33, Thomas Kipese dk. 82, Sanifu Lazaro dk. 89
    Simba: Edward Chumila dk. 58.

    MEI 18, 1991
    Yanga v Simba
    1-0
    MFUNGAJI: Said Sued 'Scud' dk. 7.

    AGOSTI 31, 1991
    Yanga v Simba
    1-0
    MFUNGAJI: Said Sued Scud.

    OKTOBA 9, 1991
    Yanga v Simba
    2-0
    WAFUNGAJI: Athumani China dk. 3, Abubakar Salum 'Sure Boy' dk. 54.

    NOVEMBA 13, 1991
    Yanga v Simba
    2-0
    APRILI 12, 1992
    Yanga 1-0 Simba
    MFUNGAJI: Kenneth Mkapa dk. 10.
    SEPTEMBA 26, 1992
    Simba v Yanga
    2-0
    OKTOBA 27, 1992
    Simba v Yanga
    1-0
    MFUNGAJI: Damian Morisho Kimti.
    MACHI 27, 1993
    Yanga v Simba
    2-1
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Said Mwamba Kizota dk. 47 na 57
    Simba: Edward Chumila dk. 75.

    JULAI 17, 1993
    Simba v Yanga
    1-0
    MFUNGAJI: Dua Said dk. 69.

    SEPTEMBA 26, 1993
    Simba v Yanga
    1-0
    MFUNGAJI: Dua Said dk. 13.

    NOVEMBA 6, 1993
    Simba v Yanga 0-0

    FEBRUARI 26, 1994
    Yanga v Simba
    2-0
    MFUNGAJI: Mohammed Hussein 'Mmachinga' na James Tungaraza 'Boli Zozo'.

    JULAI 2, 1994
    Simba v Yanga 4-1
    WAFUNGAJI:
    Simba: George Masatu, Athumani China, Madaraka Selemani, Dua Saidi Yanga; Constantine Kimanda.

    NOVEMBA 2, 1994
    Simba v Yanga 1-0
    MFUNGAJI: Madaraka Selemani dk. 71

    NOVEMBA 21, 1994
    Simba v Yanga 2-0
    WAFUNGAJI: George Lucas dk. 18, Madaraka Selemani dk. 42.

    MACHI 18, 1995
    Simba v Yanga 0-0

    OKTOBA 4, 1995
    Simba v Yanga
    2-1
    WAFUNGAJI:
    Simba: Said Mwamba 'Kizota' dk. 70, Mchunga Bakari dk. 79,
    Yanga: Mohamed Hussein ÔMmachingaŐ dk. 40.

    FEBRUARI 25, 1996
    Yanga v Simba 2-0

    SEPTEMBA 21, 1996
    Yanga v Simba 0-0

    OKTOBA 23, 1996
    Yanga v Simba
    1-0
    MFUNGAJI: Mohamed Hussein 'Mmachinga' dk. 46

    NOVEMBA 9, 1996
    Yanga v Simba 4-4
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Edibilly Lunyamila (penalti) dk. 28, Mustafa Hozza alijifunga dk 64, Said Mwamba 'Kizota' dk. 70, Sanifu Lazaro dk. 75.
    Simba: Thomas Kipese dk. 7, Ahmed Mwinyimkuu dk. 43, Dua Saidi dk. 60 na 90.
    (Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha)

    APRILI 26, 1997
    Yanga v Simba 1-1
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Idelfonce Amlima dk. 16
    Simba: Abdallah Msamba sekunde ya. 56

    AGOSTI 31, 1997
    Yanga v Simba 0-0

    OKTOBA 11, 1997
    Yanga v Simba 1-1
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Sekilojo Chambua dk. 52
    Simba: George Masatu dk. 89
    (Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya)

    NOVEMBA 8, 1997
    Yanga v Simba 1-0
    MFUNGAJI: Sekilojo Chambua dk. 85
    (Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma)

    FEBRUARI 21, 1998
    Yanga v Simba 1-1
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Akida Makunda dk. 46
    Simba: Athumani Machepe dk. 88

    JUNI 7, 1998
    Yanga v Simba 1-1
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Idelfonce Amlima dk. 28
    Simba: Abuu Juma (penalti) dk. 32

    MEI 1, 1999
    Yanga v Simba
    3-1
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Idd Moshi dk. 59, Kalimangonga Ongala dk. 64, Salvatory Edward dk. 70, Simba: Juma Amir dk. 12.

    AGOSTI 29, 1999
    Yanga v Simba
    2-0
    WAFUNGAJI: Bakari Malima dk. 49, Mohamed Hussein 'Mmachinga' dk 71

    JUNI 25, 2000
    Simba v Yanga
    2-1
    WAFUNGAJI:
    Simba: Steven Mapunda dk. 59 na 72
    Yanga: Idd Moshi dk. 4.

    AGOSTI 5, 2000
    Yanga v Simba
    2-0
    MFUNGAJI: Iddi Moshi 37 na 47. (Alifunga mabao hayo, akitoka kwenye fungate ya ndoa yake)

    SEPTEMBA 1, 2001
    Simba v Yanga
    1-0
    MFUNGAJI: Joseph Kaniki dk. 76

    SEPTEMBA 30, 2001
    Simba v Yanga
    1-1
    WAFUNGAJI:
    Simba: Joseph Kaniki dk. 65,
    Yanga: Sekilojo Chambua dk. 86
    (Mechi hii ilichezwa Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza)

    AGOSTI 18, 2002
    Simba v Yanga
    1-1
    WAFUNGAJI:
    Simba: Madaraka Selemani 65
    Yanga: Sekilojo Chambua (penalti). dk. 89

    NOVEMBA 10, 2002
    Simba v Yanga 0-0

    SEPTEMBA 28, 2003
    Simba v Yanga
    2-2
    WAFUNGAJI:
    Simba: Emmanuel Gabriel dk. 27 na 36
    Yanga: Kudra Omary dk. 42, Heri Morris dk. 55

    NOVEMBA 2, 2003
    Simba v Yanga 0-0

    AGOSTI 7, 2004
    Simba v Yanga
    2-1
    WAFUNGAJI:
    Simba: Shaaban Kisiga dk. 64, Ulimboka Mwakingwe dk. 76
    Yanga: Pitchou Kongo dk. 48

    SEPTEMBA 18, 2004
    Simba v Yanga
    1-0
    MFUNGAJI: Athumani Machuppa dk. 82

    APRILI 17, 2005
    Simba v Yanga
    2-1
    WAFUNGAJI:
    Simba: Nurdin Msiga dk. 44, Athumani Machupa dk. 64,
    Yanga: Aaron Nyanda dk. 39
    (Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Jamhuri, Morogoro)

    AGOSTI 21, 2005
    Simba v Yanga
    2-0
    MFUNGAJI: Nico Nyagawa dk. 22 na 56
    (Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha)

    MACHI 26, 2006
    Simba v Yanga.0-0

    OKTOBA 29, 2006
    Simba v Yanga 0-0

    JULAI 8, 2007
    Simba v Yanga
    1-1 (dakika 120)
    WAFUNGAJI:
    Simba: Moses Odhiambo (penalti dk. 2)
    Yanga: Said Maulid (dk. 55).
    (Simba ilishinda kwa mikwaju ya penalti 5-4 baada ya sare hiyo).
    (Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Jamhuri, Morogoro)

    OKTOBA 24, 2007:
    Simba Vs Yanga
    1-0
    Mfungaji: Ulimboka Mwakingwe
    (Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Jamhuri, Morogoro)

    APRILI 27, 2008:
    Simba Vs Yanga
    0-0
    OKT 26, 2008
    Yanga Vs Simba
    1-0
    MFUNGAJI: Ben Mwalala dk15.
    (Mechi hii ilichezwa Uwanja mpya wa Taifa, Dar es Salaam)

    APRILI 19, 2009
    Simba Vs Yanga
    2-2
    WAFUNGAJI:
    SIMBA: Ramadhan Chombo dk 23, Haruna Moshi dk 62
    YANGA: Ben Mwalala dk48, Jerry Tegete dk90
    (Mechi hii ilichezwa Uwanja mpya wa Taifa, Dar es Salaam)
    (Matokeo haya yanahusu mechi za Ligi ya Bara na iliyokuwa Ligi ya Muungano pekee)

    OKTOBA 31, 2009
    Simba Vs Yanga
    1-0
    MFUNGAJI: Mussa Hassan Mgosi dk 26
    (Mechi hii ilichezwa Uwanja mpya wa Taifa, Dar es Salaam)

    APRILI 18, 2010
    Simba Vs Yanga
    4-3
    WAFUNGAJI:
    SIMBA: Uhuru Suleiman dk 3, Mussa Mgosi dk 53 na 74, Hillary Echesa dk 90+
    YANGA: Athumani Iddi dk 30, Jerry Tegete dk 69 na 89

    OKTOBA 16, 2010:
    Yanga Vs Simba
    1-0
    MFUNGAJI: Jerry Tegete dk 70

    MACHI 5, 2011
    Simba Vs Yanga
    1-1
    WAFUNGAJI:
    YANGA: Stefano Mwasyika (penalti) dk 59.
    SIMBA: Mussa Mgosi dk 73.
    (Refa Orden Mbaga alizua tafrani uwanjani, kwanza kwa kulikataa bao la kusawazisha la Simba, kisha akalikubali baada ya kujadiliana na msaidia wake namba moja).

    OKTOBA 29, 2011
    Yanga 1-0 Simba
    MFUNGAJI: Davies Mwape dakika ya 75

    MEI 6, 2012
    Simba 5-0 Yanga
    WAFUMNGAJI:
    Emmanuel Okwi dk 1 na 65, Patrick Mafisango pen dk 58, Juma Kaseja pen dk 69 na Felix Sunzu pen dk 74

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Kuelekea dabi ya Simba na Yanga:Yajue matokeo ya mechi zilizopita kuanzia 1965-2011 Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top