728x90 AdSpace

  • Latest News

    Thursday, February 23, 2017

    Man city, Chelsea Vitani


    Na Faridi Miraji.                              

    Manchester City na Chelsea wanatarajiwa kuingia vitani kuwania saini ya beki wa Juventus, Leonardo Bonucci kipindi cha majira ya kiangazi kwa mujibu wa taarifa kutoka Manchester Evening News.

    Beki huyo wa kimataifa wa Italia hivi karibuni alikwaruzana na kocha wake Max Allegri , na aliachwa kikosini kwenye mechi ya jumatano ya UEFA dhidi ya FC Porto.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Man city, Chelsea Vitani Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top