728x90 AdSpace

Thursday, February 23, 2017

Man city, Chelsea Vitani


Na Faridi Miraji.                              

Manchester City na Chelsea wanatarajiwa kuingia vitani kuwania saini ya beki wa Juventus, Leonardo Bonucci kipindi cha majira ya kiangazi kwa mujibu wa taarifa kutoka Manchester Evening News.

Beki huyo wa kimataifa wa Italia hivi karibuni alikwaruzana na kocha wake Max Allegri , na aliachwa kikosini kwenye mechi ya jumatano ya UEFA dhidi ya FC Porto.
  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: Man city, Chelsea Vitani Rating: 5 Reviewed By: Unknown