728x90 AdSpace

  • Latest News

    Saturday, February 18, 2017

    Hiki hapa kikosi cha Yanga SC kitakachoumana na Ngaya leo jioni,Cannavaro ampisha Bossou

    Dar Es Salaam,Tanzania.

    MTOGO Vincent Bossou amerejea kwenye kikosi cha kwanza cha Yanga SC kitakachoumana na Ngaya De Mbe ya Comoro leo jioni katika Uwanja wa Taifa,Dar Es Salaam baada ya kuukosa mchezo wa kwanza uliopigwa Jumamosi iliyopita huko Moroni.

    Kurejea kwa Bossou kumemsukuma nje ya kikosi cha kwanza cha timu hiyo nahodha Nadir Haroub "Cannavaro" ambaye alicheza dakika zote kwenye mchezo wa kwanza.

    Kikosi Kamili kiko kama ifuatavyo

    1. Deogratius Munishi
    2. Juma Abdul
    3. Haji Mwinyi
    4. Vicent Bossou
    5. Kelvin Yondani
    6. Justine Zulu
    7. Saimoni Msuva
    8. Thabani Kamusoko
    9. Obrey Chirwa
    10. Deusi Kaseke
    11. Emanuel Martin

    Akiba
    - Ali Mustafa
    - Hassani Kessy
    - Oscar Joshua
    - Vicent Andrew
    - Nadir Haroub
    - Saidi Juma
    - Juma Mahadhi

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: Hiki hapa kikosi cha Yanga SC kitakachoumana na Ngaya leo jioni,Cannavaro ampisha Bossou Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top