728x90 AdSpace

  • Latest News

    Saturday, September 12, 2015

    MWAKA WA TABU:CHELSEA YAFA 3-1 NYUMBANI KWA EVERTON,NAISMITH APIGA HAT TRIK KALI AKITOKEA BENCHI


    Liverpool,England.

    Steven Naismith ameibuka shujaa baada ya kuifungia klabu yake ya Everton mabao matatu (hat trik) dhidi ya Chelsea katika mchezo mkali wa ligi kuu England uliopigwa mchana wa leo katika dimba la Goodson Park jijini Liverpool.

    Naismith aliyeingia dimbani kuchukua nafasi ya kiungo Mohamed Besic aliyeumia aliipatia Everton bao la kwanza dakika ya 17 na kuongeza la pili dakika ya 22' kabla ya kufunga la tatu dakika ya 82 bao la kufutia machozi la Chelsea limefungwa na Nemanja Matic dakika ya 36'.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: MWAKA WA TABU:CHELSEA YAFA 3-1 NYUMBANI KWA EVERTON,NAISMITH APIGA HAT TRIK KALI AKITOKEA BENCHI Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top