Rasmi Yanga imemtema beki Joseph Zuttah ‘Teteh’ raia wa Ghana.
Tayari Bossou yuko
nchini na inaonekana lazima atajiunga na Yanga ambayo inataka kuimarisha safu
ya ulinzi.
Wakati Bossou anachukua nafasi ya Teteh, kiungo Mzimbabwe, Thaban Kamusoko yeye anajiunga na Yanga na kuchukua nafasi ya Kpah Sherman.
Wakati Bossou anachukua nafasi ya Teteh, kiungo Mzimbabwe, Thaban Kamusoko yeye anajiunga na Yanga na kuchukua nafasi ya Kpah Sherman.
0 comments:
Post a Comment