728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, August 21, 2015

    MAKUBWA;WAUSHANGAA MSHAHARA WA DEMU WA STAA WA MAN UNITED

    Ama kweli dunia ina mambo kama wasemavyo watu pori.Mchumba wa kiungo wa Manchester United Morgan Schneiderlin aitwaye Camille Sold,21 amewashangaza baadhi ya wakazi wa jiji la Manchester baada ya kugundua kuwa mrembo huyo anavuna paundi 10 tu kwa sasa kama ujira wake katika duka analofanyia kazi jijini huo.
     Morgan Schneiderlin in action
    Camilleambaye anafanya kazi katika duka la Adidas kama muuzaji msaidizi ameonekana wiki hii akiwa amevaa jenzi yenye namba 28 yenye jina la Schneiderlin na ndipo watu walipoanza kufuatilia kulikoni na kisha kushikwa na butwaa baada ya kujua kiasi cha pesa anacholipwa kwa sasa moja katika duka hilo.

    Wakati  Morgan Schneiderlin akivuna kitita cha paundi 100,000 kwa wiki pale Manchester United,Camille yeye anavuna paundi 10 tu kwa sasa kiasi ambacho itamchukua miezi sita kufikia dau la wiki la mchumba wake Schneiderlin.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: MAKUBWA;WAUSHANGAA MSHAHARA WA DEMU WA STAA WA MAN UNITED Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top