728x90 AdSpace

Thursday, August 20, 2015

BAADA YA KUTUPIWA VIRAGO SIMBA SC MAGURI ASAINI STAND UNITED

Mshambuliaji aliyetupiwa virago katika klabu ya Simba, Elius Maguri amemwaga wino kuichezea Stand United.Maguri amejiunga na Stand United kwa mkataba wa miaka miwili akiwa mchezaji huru.

Mshambuliaji huyo ameachwa na Simba baada ya Kocha Dylan Kerr kuutaka uongozi uachane na mchezaji huyo kwa madai kuwa kiwango chake kiko chini mno.

  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: BAADA YA KUTUPIWA VIRAGO SIMBA SC MAGURI ASAINI STAND UNITED Rating: 5 Reviewed By: Unknown