728x90 AdSpace

  • Latest News

    Monday, August 31, 2015

    BYE BYE "CHICHARITO" APIGWA BEI USIKU USIKU,ALAMBA MIAKA MITATU SAFI NCHI ZA WATU

    Manchester,England.

    Manchester United imekubali dau la £12m usiku wa jana toka Bayer Leverkusen kwa ajili ya kumuuza mshambuliaji wake Mmexico Javier Hernandez "Chicharito".

    Kutoka Daily Mail habari zinapasha kuwa jumatatu/jumanne Chicharito,27  atasaini mkataba wa miaka mitatu wa kuichezea miamba hiyo ya Ujerumani baada ya hivi karibuni kuambiwa na kocha Luis Van Gaal kuwa hayumo katika mipango yake.

    Kuondoka huko kwa Chicharito kunaifanya Manchester United ibaki na washambuliaji wawili tu katika kikosi chake ya wakubwa.Washambuliaji hao ni Wayne Rooney na James Wilson.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: BYE BYE "CHICHARITO" APIGWA BEI USIKU USIKU,ALAMBA MIAKA MITATU SAFI NCHI ZA WATU Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top