728x90 AdSpace

Tuesday, August 25, 2015

AZAM TV YAITIA MKONONI LIGI KUU RWANDA,YAMWAGA MAMILIONI YA DOLA

Kigali,Rwanda.

Kitua cha luninga cha Azam TV kimeingia mkataba wa miaka mitano wa kuidhamini ligi kuu ya nchini Rwanda.

Mkataba huo wenye thamani ya dola milioni 2.35 ulisainiwa jana jumatatu huko Remera,Kigali katika makao makuu ya chama cha soka cha nchi hiyo kiitwacho FERWAFA.

Kufuatia kusainiwa kwa mkataba huo ligi kuu ya Rwanda itakuwa ikijulikana kama Azam Rwanda Premier League.

Kabla ya Rwanda,Azam TV tayari ilishaanza kuzidhamini ligi kuu za Tanzania, Uganda, Burundi na ligi daraja la pili ya Kenya.

  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: AZAM TV YAITIA MKONONI LIGI KUU RWANDA,YAMWAGA MAMILIONI YA DOLA Rating: 5 Reviewed By: Unknown