728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, August 21, 2015

    HII SASA SIFA:BAADA YA KUMNASA PEDRO,MOURINHO AJIANDAA KUFANYA DHAMBI NYINGINE



    London,England.

    Kama ulidhani kile kipigo cha bao 3-0 toka Man City ilichokipata Chelsea jumapili iliyopita kingetulizwa na usajili wa Pedro andika umeumia.

    Ishu iko hivi kutoka gazeti maarufu wa England la Daily Mail habari zinasema Chelsea inajiandaa kuvunja benki kwa kufanya usajili mwingine wa nguvu kwa kumsajili mlinzi wa Everton John Stones,21 na kiungo wa Juventus Paul Pogba,23.

    Ili kufanikisha madili hayo mawili Chelsea imeandaa £120m,£40m kwa ajili ya Stones na £80m kwa ajili ya Pogba huku pia ikimjumuisha winga wake Juan Cuadrado ili kutia uzito katika jambo hilo.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: HII SASA SIFA:BAADA YA KUMNASA PEDRO,MOURINHO AJIANDAA KUFANYA DHAMBI NYINGINE Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top