728x90 AdSpace

Friday, August 21, 2015

HII SASA SIFA:BAADA YA KUMNASA PEDRO,MOURINHO AJIANDAA KUFANYA DHAMBI NYINGINE



London,England.

Kama ulidhani kile kipigo cha bao 3-0 toka Man City ilichokipata Chelsea jumapili iliyopita kingetulizwa na usajili wa Pedro andika umeumia.

Ishu iko hivi kutoka gazeti maarufu wa England la Daily Mail habari zinasema Chelsea inajiandaa kuvunja benki kwa kufanya usajili mwingine wa nguvu kwa kumsajili mlinzi wa Everton John Stones,21 na kiungo wa Juventus Paul Pogba,23.

Ili kufanikisha madili hayo mawili Chelsea imeandaa £120m,£40m kwa ajili ya Stones na £80m kwa ajili ya Pogba huku pia ikimjumuisha winga wake Juan Cuadrado ili kutia uzito katika jambo hilo.
  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: HII SASA SIFA:BAADA YA KUMNASA PEDRO,MOURINHO AJIANDAA KUFANYA DHAMBI NYINGINE Rating: 5 Reviewed By: Unknown