728x90 AdSpace

Friday, August 21, 2015

NYOTA LIVERPOOL ACHUKIA KIPARA,AOTESHA NYWELE 4,000 KAMA WAYNE ROONEY,

Unamkumbuka nyota wa zamani wa Liverpool Mjerumani Didi Hamann?Hivi sasa jamaa ana miaka 41 baada ya kuona anapoteza nywele nyingi na kuanza kutoka kipara kwa kasi ameamua kupandikiza nywele kama alivyowahi kufanya nyota wa Manchester United Wayne Rooney ili awe na muonekano mzuri kama ule wa zamani.
Didi Hamann hair transplant 

 Akihojiwa sababu ya kufanya hivi Hamann amesema nachukia kipara.Nimepata nguvu ya kufanya hivi baada ya kuona Wayne Rooney amefanikiwa.

                          Didi Hamann hair transplant
Shughuri ya upandikizwaji wa nywele hizo [4,000] umeongozwa na daktari Asim Shahmalak wa Crown Clinic,Manchester.
Didi Hamann with surgeon Asim Shahmalak
  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Post a Comment

Item Reviewed: NYOTA LIVERPOOL ACHUKIA KIPARA,AOTESHA NYWELE 4,000 KAMA WAYNE ROONEY, Rating: 5 Reviewed By: Unknown