728x90 AdSpace

  • Latest News

    Wednesday, August 19, 2015

    KUNA SEHEMU ED WOODWARD ANAKOSEA,HAWA HAPA NYOTA WANANE ALIOSHINDWA KUWASAJILI

       
    Hiki ni kipindi cha usajili barani Ulaya,Asia,Marekani , Afrika na pengine kila kona ambako soka linachezwa.Furaha kubwa kwa mashabiki wa soka huwa ni kusikia klabu yao imesajili mchezaji mpya ama yule wanayemchukia akitimka zake na kujiunga na klabu jinjine lakini linapokuja swala la klabu yao waipendayo kutangaza kuwa imeeachana na mpango/imeshindwa kumsajili nyota waliyekuwa na matumaini nae habari huwa ni tofauti sana.

    Ifuatayo ni orodha ndefu ya nyota ambao bosi wa Man United bwana Ed Woodward alijaribu kutaka kuwasajili lakini mwisho wa siku akaiishia kuambulia maumivu ndani ya moyo wake baada ya ama kuzidiwa kete na vilabu vingine ama kushindwa kutoa pesa ya kutosha kuwashawishi nyota hao pamoja na vilabu vyao

    Leighton Baines (Summer 2013)
     
     Gareth Bale (Summer 2013)


    Gareth Bale holds up his new No.11 shirt and is accompanied by Real Madrid president Florentino Perez
     Cesc Fabregas (Summer 2013)

    Chelsea's Cesc Fabregas holds the Premier League trophy aloft during the victory parade.
     Thiago Alcantara (Summer 2013)

    Bayern Munich's Spanish midfielder Thiago Alcantara celebrates scoring
     Mats Hummels (Summer 2014)



    Toni Kroos (Summer 2014)

      

     Nicolas Otamendi (Summer 2015)

      

    Sergio Ramos (Summer 2015)

     Sergio Ramos poses with Real president Florentino Perez after signing his new five-year contract at the Santiago Bernabeu)

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: KUNA SEHEMU ED WOODWARD ANAKOSEA,HAWA HAPA NYOTA WANANE ALIOSHINDWA KUWASAJILI Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top