728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, August 28, 2015

    VIDEO:BAADA YA KUTOSWA KWA STONES,CHELSEA YAMGEUKIA SERGIO RAMOS WA KICHINA

                                                                                                    .
    Chelsea imemgeukia mlinzi   wa  ya China baada ya kutoswa na Everton katika harakati za kutaka kumsajili mlinzi wake John Stones., 26 anafananishwa kiuchezaji na mlinzi wa Real Madrd Sergio Ramos kwa mujibu wa kocha Muitaliano Marcello Lipp,i Linpeng ndiye mchezaji bora zaidi katika ligi ya China.

    Linpeng alijiunga na  Guangzhou mwaka 2010 na kufanikiwa kushinda mataji manne ya ligi ya China huku akifanikiwa kufunga jumla ya mabao 13 na kutengeneza 21 katika michezo 144.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: VIDEO:BAADA YA KUTOSWA KWA STONES,CHELSEA YAMGEUKIA SERGIO RAMOS WA KICHINA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top