728x90 AdSpace

  • Latest News

    Wednesday, August 26, 2015

    MAKUNDI UEFA KUTANGAZWA KESHO ALHAMISI,MAMBO YATAKUWA HIVI

     Makundi ya ligi ya mabingwa yanatarajiwa kupangwa kesho alhamisi huko Monaco lakini leo UEFA imekuwa na mchanganuo unaoonyesha ni timu ipi itaingi chungu kipi baada ya matokeo ya michezo ya usiku wa leo

    Mchanganuo huu hapa

    Pot 1: Barcelona, Chelsea, Bayern Munich, Juventus, Benfica, Paris Saint-Germain, Zenit St. Petersburg na PSV Eindhoven.

    Pot 2: Real Madrid, Atletico Madrid, Porto, Arsenal, Manchester City, Valencia - pamoja na vilabu viwili kutoka kati ya Manchester United, Bayer Leverkusen, Shakhtar Donetsk, Sevilla.

    Pot 3: Olympiakos, Galatasaray, Lyon, Dynamo Kiev, Roma - pamoja na vilabu vitatu kati ya Shakhtar Donetsk, Sevilla, Sporting Lisbon, CSKA Moscow, Lazio, Bruges, APOEL, BATE.

    Pot 4: Borussia Monchengladbach, Wolfsburg, Dinamo Zagreb, Maccabi Tel Aviv, Gent, Malmo - pamoja na vilabu viwili kati ya APOEL, BATE, Partizan, Astana.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: MAKUNDI UEFA KUTANGAZWA KESHO ALHAMISI,MAMBO YATAKUWA HIVI Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top