Mabao mawili ya dakika za 33,36 ya nahodha wa Astra Giurgiu Constantin Budescu yametosha kuitupa nje ya michuano ya Europa ligi Westham baada ya kuitandika jumla ya magoli 2-1 katika mchezo mkali uliopigwa Giurgiu,Romania.
Kwa matokeo hayo Giurgui inasonga mbele kwa jumla ya magoli 4-3 baada ya kulazimisha sare ya 1-1 katika mchezo wa kwanza uliopigwa wiki mbili zilizopita jijini London.
Katika mchezo mwingine Borussia Dortmund imeibuka na ushindi mnene wa goli 5-0 dhidi ya klabu chovu ya Wolfsberg ya Austria huku mshambuliaji Henrikh Mkhitaryan akiibuka shujaa baada ya kufunga hat-trick.Kwa matokeo hayo Dortmund inafuzu kwa jumla ya magoli 6-0.
Magoli mawili ya Grazianno Pelle na Sadio Mane yameipa ushindi mwingine mnono Southampton dhidi ya Vitesse ya Uholanzi.Hivyo Southampton inafuzu kwa jumla ya magoli 5-0 baada ya mchezo wa kwanza kuibuka na ushindi wa goli 3-0.
Matokeo mengine......
Qabala 1-0 Apollon Limassol
Inter Baku 0-0 Ath Bilbao
Omonia Nicosia 2-2 Brøndby IF
Rubin Kazan 1-1 SK Puntigamer Sturm Graz
Hapoel Ironi Kiryat Shmona
0-3 Slovan Liberec
IFK Göteborg 0-0 Belenenses
Istanbul Basaksehir 1-2 AZ Alkmaar
Odd 2-0 IF Elfsborg
Rosenborg 3-1 Debrecen
Strømsgodset 0-2 Hajduk Split
Trabzonspor 1-1 Rabotnicki
Vorskla Poltava 3-1 MSK Zilina
Dinamo Minsk 1-1 FC Zürich
AEK Larnaka 0-1 Bordeaux
FC Vaduz 2-2 FC Thun
FC Copenhgn 2-3 FK Baumit Jablonec
Astra Giurgiu 2-1 West Ham
Atromitos Athens 1-0 AIK
St Etienne 1-2 ASA Targu Mures
Vitesse 0-2 Southampton
Zeljeznicar Sarajevo 0-1 Standard Liege
Zorya Luhansk 3-0 Sporting de Charleroi
Spartak Trnava 1-1 PAOK Salonika
Slovan Bratislava 3-3 FK Krasnodar
Bor Dortmd 5-0 RZ Pellets WAC
Aberdeen 1-1 Kairat Almaty
FK Vojvodina 0-2 Sampdoria
Legia Warsaw 1-0 FK Kukës
Vitória Guimarães 1-4 CASHPOINT SCR Altach
0 comments:
Post a Comment