728x90 AdSpace

  • Latest News

    Tuesday, September 01, 2015

    KOKORIN AOTA MBAWA ARSENAL KISA FIGISU ZA WENGER

    Moscow,Urusi.

    Mpango wa Arsenal kumsajili mshambuliaji Alexander Kokorin umemkwama baada ya Dynamo Moscow kuikataa ofa iliyoletwa na kocha Arsene Wenger.

    Taarifa zinasema Dynamo imekataa kumuuachia Kokorin,25 baada ya Arsenal kutaka kumsajili kwa mkopo wa msimu mmoja na kisha kumsajili baadae ikiwa ataonekana anafaa.Dyanamo imeuona mpango huo ni kama kuikosea heshima klabu hiyo pamoja na mchezaji husika.

    Arsenal ilimgeukia Kokorin baada ya mpango wa kumsajili Karim Benzema toka Real Madrid kukwama

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: KOKORIN AOTA MBAWA ARSENAL KISA FIGISU ZA WENGER Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top