728x90 AdSpace

  • Latest News

    Friday, June 12, 2015

    BEKI SIMBA KUKIPIGA UJERUMANI,APEWA MKATABA WA MWAKA MMOJA

                                        

    Kijana Mtanzania Emily Mugeta amesaini mkataba wa mwaka
    mmoja na klabu ya Neckarsulm ya daraja la chini ya VERBANSLIGA ya nchini Ujerumani.
     
    Beki huyo kinda wa Simba SC amesaini mkataba huo baada ya kufuzu majaribio  yaliyofanyika majuma mawili yaliyopita.
     
    “Nimesaini mwaka mmoja, nilifanya majaribio na kufuzu na sasa naangalia namna nitakavyopambana,” alisema beki huyo wa kushoto kutoka Ujerumani alipozungumza na Saleh Jembe
     
    Mgeta ni mmoja wa vijana waliokuwa katika kikosi cha akina Said Ndemla, Ramadhani Singano ‘Messi’ na wengine.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: BEKI SIMBA KUKIPIGA UJERUMANI,APEWA MKATABA WA MWAKA MMOJA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top