728x90 AdSpace

  • Latest News

    Saturday, June 27, 2015

    TOKA SAUZI:MKUDE AANZA MAJARIBIO BIDVEST

    Kiungo mahiri wa ukabaji wa Simba na Taifa Stars, Jonas Gerard Mkude ameanza majaribio katika klabu ya Bidvest Wits inayoshiriki ligi kuu Afrika kusini.
    Mkude ameonekana mwenye kujiamini katika majaribio hayo, huku akiwa na matumaini ya kufuzu ili kutimiza ndoto yake ya kucheza soka la kulipwa.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: TOKA SAUZI:MKUDE AANZA MAJARIBIO BIDVEST Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top