728x90 AdSpace

  • Latest News

    Saturday, June 20, 2015

    BREAKING NEWS:KOCHA NOOJ ATIMULIWA STARS


    Kamati ya utendaji ya Shirikishi la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Katika kikao chake cha leo pamoja na mambo mengine ilipitia mwenendo wa Timu ya Taifa (Taifa Stars) ikiw
    a ni pamoja na kuhudhuria mchezo kati ya Tanzania na Uganda, kama sehemu ya tathmin ya mwenendo wa timu.

    Kamati ya utendaji kwa kauli moja imeamua yafuatayo:

    1.Ajira ya Kocha Mkuu Maart Nooij inasitishwa mara moja kuanzia  tarehe 21/June/2015.

    2.Benchi lote la ufundi la Taifa stars limevunjwa kuanzia tarehe 21/06/2015.

    3.Uongozi wa TFF utatangaza punde benchi jipya la ufundi la timu ya Taifa.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: BREAKING NEWS:KOCHA NOOJ ATIMULIWA STARS Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top