728x90 AdSpace

  • Latest News

    Tuesday, June 30, 2015

    ZUTAH,NGOMA WAJIFUNGA MIAKA MIWILI MIWILI YANGA


    WACHEZAJI wapya wa kigeni wa Yanga SC, beki Joseph Tetteh Zutah kutoka Ghana na mshambuliaji wa Zimbabwe, Donald Ngoma wamesaini Mkataba wa miaka miwili kila mmoja leo kuichezea klabu hiyo.

    Katibu wa Yanga SC, Dk Jonas Tiboroha amesema kwamba wawili hao waliowasili Dar es Salaam Jumamosi asubuhi wamesaini Mikataba hiyo leo makao makuu ya klabu,Jangwani, Dar es Salaam.

    “Kwa kweli tumefurahi kukamilisha zoezi hili leo. Ni hatua moja katika kuimarisha kikosi chetu kuelekea msimu ujao,”amesema Tiboroha
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: ZUTAH,NGOMA WAJIFUNGA MIAKA MIWILI MIWILI YANGA Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top